Maadhimisho hayo yamekwenda sambamba na uzinduzi wa mfumo wa kidijitali wa anuani za makazi (NaPa) jijini Dodoma.
Nimegundua waalimu huolewa haraka sana. Na pia huolewa kwa wingi tofauti na fani zingine. Waalimu wana upako wao na ndoa.
Beki Harry Maguire alifunga bao hilo kwa kichwa katika dakika za majeruhi akiunganisha krosi ya Bruno Fernandes.
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Mji Mafinga, wilayani Mufindi Mkoa wa Iringa limetenga Sh15.6 milioni kwa ajili ya ...
Tangu amekuwepo katika tasnia kwa miaka zaidi ya 20 na hata kushika kasi kwa matumizi ya teknolojia ya kuweka muziki ...
Hoja hiyo imekuja wakati Serikali ikiboresha mitalaa na Sera ya Elimu ikilenga kuwapa nafasi wanafunzi nafasi ya kuchangua fani za kusomea zitakazowawezesha kujiajiri au kuajiriwa.
Wakili Tenzi Nyundulwa aliyekuwa akiomba kibali cha mahakama ili afungue kesi kupinga hatua ya Rais Samia Suluhu Hassan ...
Imeelezwa kuwa, sherehe za miaka 61 ya Mapinduzi, Zanzibar Januari 2025, zimeongeza mauzo ya mafuta visiwani humo kwa ...
Wanasaikolojia na mtaalamu wa masuala ya malezi, mchungaji Daniel Sendoro, anasema kununa ni tatizo la kisaikolojia, ...
Rais mstaafu Jakaya Kikwete yupo wilayani Bukombe kwa ziara ya siku moja, atahudhuria mkutano maalumu wa Chama cha Mapinduzi ...
Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga wamembana Meneja wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) ...
Viongozi wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wamezitaka pande zote zinazohusika katika mgogoro unaoendelea mashariki mwa Jamhuri ...